MORNING MOTIVATION DIARY
Ujue zaidi mgogoro
Ndugu,
Karibu katika siku mpya ya leo ambapo tunakutana katika program yetu ya morning motivation diary,Yenye lengo kubwa la kukuongezea maarifa zaidi.
Siku ya leo nazungumzia kuhusu mgogoro:
Mgogoro ni hali ya kutoafikiana baina ya pande mbili au zaidi kutokana na kupishana mahitaji yaani (divergence in nterest).Anahitaji kitu fulani unampatia kingine au unampiga tarehe oh! mara kesho pasipo taarifa inayoeleweka, anataka laki moja unampa elfu kumi hio tisini iliyobaki unamkwepakwepa hapo ndipo utata unapoanzia.Pia maisha kuwa magumu,ukosefu wa Pesa inachangia uwepo wa mgogoro miongoni mwa wahusika.
Hivyo:Mgogoro ni jambo asilia na kwahiyo haliepukiki katika maisha yetu na kazi tunazofanya ,Migogoro inaweza kuwa kati ya wahusika, familia zao, matabaka yao, au hata katika nyadhifa mbalimbali. Vilevile migogoro yaweza kuwa ya kiuchumi, kijamii, mogogoro ya nafsi, na migogoro ya kisiasa ambayo hujitokeza katika mitazamo tofauti kulingana na mazingira.
Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna tunavyoishughulikia migogoro hiyo kuitatua au kuipunguza makali(Conflict management).
Mgogoro wakati wowote ni dalili ya hitaji lililofichika ambalo alijatatuliwa.
Mara nyingi kinachoonekana kwa nje ni matokeo tu ila tatizo linakuwa mwanzo na kama halijatatuliwa kwa kuangalia mwanzoni (the causative)kuna uwezekano mgogoro kutokea tena.Unaweza sema mgogoro ni kama makaa ya moto yanayoonekana kuzima ukiwasha tena yanawaka.Tiba kubwa ya mogogoro sio kusema huukimbie,uhame familia,mkoa au nchi bali ni kuutatua .Let's meet on the next discussion ,Wish you all the best.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0767702659.
Kupata makala zaidi ingia katika page yangu ya Instagram Lackius Robert.
Karibu.
Ujue zaidi mgogoro
Ndugu,
Karibu katika siku mpya ya leo ambapo tunakutana katika program yetu ya morning motivation diary,Yenye lengo kubwa la kukuongezea maarifa zaidi.
Siku ya leo nazungumzia kuhusu mgogoro:
Mgogoro ni hali ya kutoafikiana baina ya pande mbili au zaidi kutokana na kupishana mahitaji yaani (divergence in nterest).Anahitaji kitu fulani unampatia kingine au unampiga tarehe oh! mara kesho pasipo taarifa inayoeleweka, anataka laki moja unampa elfu kumi hio tisini iliyobaki unamkwepakwepa hapo ndipo utata unapoanzia.Pia maisha kuwa magumu,ukosefu wa Pesa inachangia uwepo wa mgogoro miongoni mwa wahusika.
Hivyo:Mgogoro ni jambo asilia na kwahiyo haliepukiki katika maisha yetu na kazi tunazofanya ,Migogoro inaweza kuwa kati ya wahusika, familia zao, matabaka yao, au hata katika nyadhifa mbalimbali. Vilevile migogoro yaweza kuwa ya kiuchumi, kijamii, mogogoro ya nafsi, na migogoro ya kisiasa ambayo hujitokeza katika mitazamo tofauti kulingana na mazingira.
Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna tunavyoishughulikia migogoro hiyo kuitatua au kuipunguza makali(Conflict management).
Mgogoro wakati wowote ni dalili ya hitaji lililofichika ambalo alijatatuliwa.
Mara nyingi kinachoonekana kwa nje ni matokeo tu ila tatizo linakuwa mwanzo na kama halijatatuliwa kwa kuangalia mwanzoni (the causative)kuna uwezekano mgogoro kutokea tena.Unaweza sema mgogoro ni kama makaa ya moto yanayoonekana kuzima ukiwasha tena yanawaka.Tiba kubwa ya mogogoro sio kusema huukimbie,uhame familia,mkoa au nchi bali ni kuutatua .Let's meet on the next discussion ,Wish you all the best.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0767702659.
Kupata makala zaidi ingia katika page yangu ya Instagram Lackius Robert.
Karibu.
No comments:
Post a Comment