MORNING MOTIVATION DIARY
Migogoro katika sehemu za kazi
(Workplace conflicts)
Ndugu,
Karibu katika mwendelezo kuhusu migogoro sehemu katika sehemu za kazi,sehemu iliyopita tumeangalia migogoro ya katika familia:
Sehemu za kazi panaweza kuwa kiwandani,Shuleni,Ofisini,Kwenye taasisi ambapo panausisha wafanyakazi kwa maana ya waajiri na waajiriwa.Sehemu za kazi zimegawanyika katika makundi mawili Serikalini (public) na Binafsi (private).
MWAJIRI anaweza kuwa Serikali au mtu binafsi.
Migogoro kazini :
Hii ni migogoro inayotokea baina ya waajiri (employers) na waajiriwa (employees) baada ya kutofautiana katika maslai (interests) au mahitaji.
Katika sehemu yoyote ya kazi mwajiri unaweza muita Bosi anataka uzalishaji mzuri pamoja kama ni kiwanda cha nguo au viatu yeye anataka kila siku watengeneze pair nyingi sana kuliko kawaida,Kama ni shule wanafunzi wote wafaulu kwa kiwango cha juu,pia kubalance mshahara (profit maximization).
Upande wa mfanyakazi yeye anataka mshahara mzuri mazingira mazuri ya kufanyia kazi ikiwemo uwepo wa pangaboi(feni) au Air Condition AC,Viti,meza ,Taraklishi (Computer ),usafiri,maji safi na salama, na huduma ya afya na usalama (safety and health).Lakini mahitaji haya yote yanategemea vigezo na mashariti vilivyowekwa kwenye mkataba (Terms and Conditions according to contract of employment).
Vitu hivi visipopatikana au kukitokea utofauti au hali ya kutoelewana hapo ndipo mgogoro huibuka.
Huku dalili zake ni kama kutosalimia baina ya wafanyakazi na Bosi wao ,yaani Bosi akija mfanyakazi anatafuta mlango wa kupitia ili asikutane nae.Au bosi akiwa anamtazama mfanyakazi fulani anajisikia vibaya maana uhasama unakuwa ni mkubwa sana.
Naomba niishie hapo ,Wish you all the best let's meet on the next discussion.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Kupata makala zilizopita bonyeza hapa
https://www.instagram.com/p/B0hlaRzFRYU/?igshid=1jka3jel8u4nv au wasaliana nami 0767702659 Lackius Robert.
Karibu
Migogoro katika sehemu za kazi
(Workplace conflicts)
Ndugu,
Karibu katika mwendelezo kuhusu migogoro sehemu katika sehemu za kazi,sehemu iliyopita tumeangalia migogoro ya katika familia:
Sehemu za kazi panaweza kuwa kiwandani,Shuleni,Ofisini,Kwenye taasisi ambapo panausisha wafanyakazi kwa maana ya waajiri na waajiriwa.Sehemu za kazi zimegawanyika katika makundi mawili Serikalini (public) na Binafsi (private).
MWAJIRI anaweza kuwa Serikali au mtu binafsi.
Migogoro kazini :
Hii ni migogoro inayotokea baina ya waajiri (employers) na waajiriwa (employees) baada ya kutofautiana katika maslai (interests) au mahitaji.
Katika sehemu yoyote ya kazi mwajiri unaweza muita Bosi anataka uzalishaji mzuri pamoja kama ni kiwanda cha nguo au viatu yeye anataka kila siku watengeneze pair nyingi sana kuliko kawaida,Kama ni shule wanafunzi wote wafaulu kwa kiwango cha juu,pia kubalance mshahara (profit maximization).
Upande wa mfanyakazi yeye anataka mshahara mzuri mazingira mazuri ya kufanyia kazi ikiwemo uwepo wa pangaboi(feni) au Air Condition AC,Viti,meza ,Taraklishi (Computer ),usafiri,maji safi na salama, na huduma ya afya na usalama (safety and health).Lakini mahitaji haya yote yanategemea vigezo na mashariti vilivyowekwa kwenye mkataba (Terms and Conditions according to contract of employment).
Vitu hivi visipopatikana au kukitokea utofauti au hali ya kutoelewana hapo ndipo mgogoro huibuka.
Huku dalili zake ni kama kutosalimia baina ya wafanyakazi na Bosi wao ,yaani Bosi akija mfanyakazi anatafuta mlango wa kupitia ili asikutane nae.Au bosi akiwa anamtazama mfanyakazi fulani anajisikia vibaya maana uhasama unakuwa ni mkubwa sana.
Naomba niishie hapo ,Wish you all the best let's meet on the next discussion.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Kupata makala zilizopita bonyeza hapa
https://www.instagram.com/p/B0hlaRzFRYU/?igshid=1jka3jel8u4nv au wasaliana nami 0767702659 Lackius Robert.
Karibu
No comments:
Post a Comment