Thursday, August 08, 2019

Ujue zaidi mgogoro

MORNING MOTIVATION DIARY

Visababishi vya migogoro.

Ndugu,
Karibu katika mwendelezo wa makala hii inayozungumzia migogoro katika jamii tunazoishi.

=•Matarajio makubwa, pia suala lingine ambalo husababisha kutoelewana na migogoro mikubwa sana kuibuka  ni kuwa na matarajio makubwa sana endapo hayo matarajio yasipo kamilika migogoro hutokea.Mfano wakulima wanalima mazao wakitarajia mvua inyeshe ili mazao yawe mengi mwishoni mwa mavuno lakini hali inapokuwa ndivyo sivyo.Huanza kulalamika na kuongea mengi huku wakiwa wanaofia baadhi ya watu kwa kuwasingizia wao ndo wanaosababisha mvua isinyeshe au mazao yasitoke mengi..Hivyo migogoro ndipo huanza baina yao na wanajamii.

Wanafunzi huanza shule wakiwa na matarajio makubwa ya kumaliza masomo yao na kupata ajira .Hali inapokuwa tofauti migogoro kati yao na serikali wakati mwingine huwalamu wazazi wao au jamaa zao waliowatarajia kutoa assistance katika kuwapatia ajira.

 =••Dhuluma,Hi na yenyewe pia insababisha mgogoro katika sehemu,au kazi tunazofanya.

Katoka point hii nimekusanya Maoni kutoka kwa baadhi ya watu wamesema hivi:

[7/26, 06:23] ,Wachache wenye busara ndio wanaweza vumilia dhuluma wanazofanyiwa bila kuingia kwenye mgogoro na mdhulumu wake.

[7/26, 06:21], Ni kweli bro, dhuluma humfanya mtu ajenge chuki na mwenzie, ata kama walikuwa na mahusiano mazuri yataisha, matokeo yake wanakuwa kama adui, wakikutana,Na hapo mgogoro unakuwa mkubwa mno.Hali hii imekuwa mara nyingi inatokea kwa wenye fedha nyingi na wenye fedha kidogo.Ambapo wenye fedha nyingi uchukulia matatizo ya wenye fedha kidogo kwa kuwadhulumu badala ya kuwapa huduma inayostahili anawapa kidogo maana wanakuwa hawana namna.Je hapo ulipo hali ipoje ? Naomba maoni yako,Wish you all the best.

"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Unaweza kuwasiliana na Mimi 0767702659
Kupata makala zaidi tembelea page yangu ya Instagram lackius Robert
Karibu.

No comments:

Post a Comment