MORNING MOTIVATION DIARY
Visababishi vya migogoro:
Ndugu,
Ni kweli kwamba katika utendaji wa kazi zetu na uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku kuna wakati tunasababisha
Mgogoro pasipo kujua:
=•Mtazamo
jinsi mtu anavyochukulia au kufikiria jambo ,mawazo ya mtu juu ya jambo fulani.
mtazamo wako ndio huamua ikiwa utakuwa na furaha au la! Mtazamo unaweza kuamua kama utatimiza lengo lako au utakata tamaa. Pia mtazamo utaamua ikiwa utaenda katika njia inayofaa sahihi au isiyo sahihi.
Katika maisha na utendaji wetu wa kila siku sisi sote tuna mitazamo tofauti.
Hivyo usilazimishe mtu jinsi unavyotazama au kuchukulia kitu na mwezako achukulie hivyo au aelewe hivyo.Kwa kulazimisha huko ndipo panapotokea utafauti na mgogoro unaanzia hapo.
Mara nyingi hali hii imekuwa inajitokeza katika mahusiano yetu unavyochukulia kitu unataka mwenza wako na yeye akufate na unamlazimisha ,Familia zetu,katika kazi zetu maofosini na wakati mwingine kuendelea kushikilia msimamo uleule bila kubadilishwa.
=WIVU,Ile hali ya kutopenda maendeleo ya mwenzake au kuona mwenzake anapata yeye hapati hata kama wanatofautiana katika sifa tabia na uwezo.
Binadamu ni kweli tumezaliwa na wivu ndiyo sikatatai lakini sio wivu wa kununiana kutosalimiana au kuzungumza kisa mmojawapo amepata mafanikio fulani fulani labda amenunua kagari,amefanikiwa zaidi kibiashara,au ata kimasomo.
Hali ya wivu Mara nyingi imekuwa ikisababisha sana migogoro binasfi miongoni mwa waliowengi.Kitu kinachowafanya watu wengi kukosa furaha,amani na upendo.
Sio hapo tu bali kuanza kutafuta mazingira ya kumporomosha yule ambaye anaonekana kufanikiwa zaidi.
Kwa kusambaza habari za masimango na maneno mabaya kwa watu ili nao wamuone kama mtu mbaya kumbe ni wivu tu.Kumbuka Wivu ni adui wa maendeleo,Wish you all the best let's meet on the next discussion.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0767702659
Kupata zaidi makala tembelea ukurasa wangu wa Instagram Lackius Robert
Karibu.
Visababishi vya migogoro:
Ndugu,
Ni kweli kwamba katika utendaji wa kazi zetu na uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku kuna wakati tunasababisha
Mgogoro pasipo kujua:
=•Mtazamo
jinsi mtu anavyochukulia au kufikiria jambo ,mawazo ya mtu juu ya jambo fulani.
mtazamo wako ndio huamua ikiwa utakuwa na furaha au la! Mtazamo unaweza kuamua kama utatimiza lengo lako au utakata tamaa. Pia mtazamo utaamua ikiwa utaenda katika njia inayofaa sahihi au isiyo sahihi.
Katika maisha na utendaji wetu wa kila siku sisi sote tuna mitazamo tofauti.
Hivyo usilazimishe mtu jinsi unavyotazama au kuchukulia kitu na mwezako achukulie hivyo au aelewe hivyo.Kwa kulazimisha huko ndipo panapotokea utafauti na mgogoro unaanzia hapo.
Mara nyingi hali hii imekuwa inajitokeza katika mahusiano yetu unavyochukulia kitu unataka mwenza wako na yeye akufate na unamlazimisha ,Familia zetu,katika kazi zetu maofosini na wakati mwingine kuendelea kushikilia msimamo uleule bila kubadilishwa.
=WIVU,Ile hali ya kutopenda maendeleo ya mwenzake au kuona mwenzake anapata yeye hapati hata kama wanatofautiana katika sifa tabia na uwezo.
Binadamu ni kweli tumezaliwa na wivu ndiyo sikatatai lakini sio wivu wa kununiana kutosalimiana au kuzungumza kisa mmojawapo amepata mafanikio fulani fulani labda amenunua kagari,amefanikiwa zaidi kibiashara,au ata kimasomo.
Hali ya wivu Mara nyingi imekuwa ikisababisha sana migogoro binasfi miongoni mwa waliowengi.Kitu kinachowafanya watu wengi kukosa furaha,amani na upendo.
Sio hapo tu bali kuanza kutafuta mazingira ya kumporomosha yule ambaye anaonekana kufanikiwa zaidi.
Kwa kusambaza habari za masimango na maneno mabaya kwa watu ili nao wamuone kama mtu mbaya kumbe ni wivu tu.Kumbuka Wivu ni adui wa maendeleo,Wish you all the best let's meet on the next discussion.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa".
Unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0767702659
Kupata zaidi makala tembelea ukurasa wangu wa Instagram Lackius Robert
Karibu.
No comments:
Post a Comment