Thursday, June 13, 2019

Afya yako ni muhimu kuliko kitu chochote

MORNING MOTIVATION DIARY



Kuwa makini na Afya yako.

Ndugu, ili uweze kufanikiwa katika jambo lote unalofanya ,Afya ikiwa bora una uwanja mkubwa wa kufanikisha.
Kuwa bora kimwili na kiakili ni ukweli usiopingika kwamba  unaweza kufanya chochote unachotaka.

Afya inakupa nguvu ,hamasa ,utulivu na uwezo wa kuyatenda yote unayoyahitaji.
Magonjwa ni mengi kuwa makini na afya yako.Hakuna mwingine wa kuilinda au kuitunza afya yako Kama si wewe mwenyewe,Tamaa ndogo ndogo zisiharibu ndoto zako za maisha yako.

N.B Wanasema' majuto ni mjukuu' ila ukitaka kumjua baba yake yakishatokea utamjua tu! Maana utaanza kuwaza na kuwazua kwa nini nilifanya vile? .Bora ningevumilia ona  sasa nilivyo nateseka ase!!! Lakini ndo yanakuwa tayali yametokea.

Mwenye nguvu muite power !!!!!!!

"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa"

Karibu Instagram lackiusrobert
Wish you all the best.

No comments:

Post a Comment