Wednesday, November 04, 2020

USISHINDWE KUKAMILISHA REPORT AU KITABU CHAKO TIBA KAMILI HII HAPA.

 Habari ndugu yangu mpendwa ni matumaini yangu uanendelea vizuri na utendaji kazi wako wa kila siku,siku ya leo ninayo furaha kubwa ya kukutangazia huduma ninazotoa ni matumaini yangu utaweza kuguswa kwa namna moja au nyingine.

Lackius Robert ni kijana wa kitanzania aliyedhamilia kuleta mapinduzi makubwa hasa hasa kwenye eneo zima linaohusu fikra na mawazo chini ya program ya “Transorming the Idea” ambayo inahusika na uandishi pamoja na ufundishaji.Ambapo kupitia program hiyo unapata huduma zifuatazao 


1.  1. Ninatoa huduma ya tasfri(Translation) kutumia lugha ya Kiswahili na Kiingreza hii inawasaidia ambao wameandika vitabu ,makala,majarida na wanataka yawekwe katika moja ya lugha tajwa.

Kupitia huduma hii nimekuwa nafanya uchambuzi wa vitabu kutumia lugha ya kiswahili kwa hiyo huna haja ya kuendelea kulalamika au kusema huju namna ya kupangilia vitu vya muhimu katia usomaji wako wa viatbu tayali huduma hivyo ninaitoa kwa bei nafuu.Unaweza kubonyza link kujiunga na grup letu la telegram ili uendelee kujifunza zaidi https://t.me/SOMAONLINETELEGRAM

2.     2. Kuhifadhi nyaraka ambazo wazungumzaji( speakers ) wanakuwa wamefundisha katika semina mbali mbali.Hii inawasaidia wale ambao hawaja weza kuhudhulia semina hiyo kushiriki kwa njia ya usomaji.Kwa hiyo unapokuwa umeandaa semina yako hakun aunachopoteza mafunzo yaliyotolewa yanaendelea kuwepo na yanaweza kutimiwa kama testimony.

3.      3.  Kubadili (sound) maneno na kuyaweka katika (word) maandishi yaani transcription ambapo unapata document ikiwa katika manual transcript.Hii inawasaidia sana watu wanaohitaji kuandika vitu mbali mbali lakini wanakosa muda wa kuandika vitu hivyo inaweza kuwa ni report za kazini,vitabu au makala.Ambapo unanitumia voice note au audio mimi ninachofanya ni kuiweka katika maandishi.

4.      4.  Pia natoa huduma ya kundaa report au kuandika majina kwenye excel hii sana sana inatumika kwa watu ambao wapo bize sana kiasi kwamba wanakosa muda wa kukaa na kuandaa report au kuingiza majina hayo kwenye document husika.

5.       5. Ninatoa mafundisho katika nyanja za ushawishi,ufanisi,conflict management,malengo na maswala mazima ya kujitambua(self awereness) lakini ninaweza kubadilika kuendana na huduma anahitaji mhusika.

Huduma zote hizi hazihitaji mimi na wewe tukutane live /ana kwa ana kila siku mara nyingi zinatumika kwa njia ya mtandao unaweza kupata huduma hizi popote pale ulipo kwa bei nafuu.Njia ya mawasiliano ni WhatsApp ,Email au telegram tuwasiliane zaidi 0767702659 au email  maarifarobert@gmail.com

Karibu sana na mwenyezi mungu akubariki.


No comments:

Post a Comment