MORNING MOTIVATION DIARY
Jinsi ya kupata mtaji
Ndugu,
Ni siku nyingine tena ambapo tunakutana katika program yetu ya morning motivation diary yenye lengo kubwa la kuing'alisha siku yako na kuifanya kuonekana mpya.
Unaweza kuomba mkopo Kutoka Kwenye Vyama na Vikundi mbali mbali,
Vyama vya kama SACCOS na Vikoba Sifa kubwa unayotakiwa Kuwa nayo ni kuwa mwanachama wa chama chenye kukopesha na kufuata masharti ya chama husika.Mara nyingi vyama hivi na vikundi huwa vinatoa mkopo wenye riba na masharti ambayo siyo magumu kuyazingatia.
Watu wengi wamekuwa wanaanza biashara kwa kukopa Pesa kutoka kwenye VICOBA na kuweza kufanikiwa .
Miongoni mwa faida ni kwamba unakuwa na uhakika wa mtaji kuupata japo ata kama utakuwa ni mdogo ,na na mara nyingi wanakikundi wanakuwa wanakujua jinsi unavyochangia au jinsi unavyojituma.Inaweza kuanza na mtaji mdogo, kama unahisi au unaepuka kufilisiwa mali zako ,lakini ukishaanza kuizoea biashara na ukaziju changamoto zake unaweza kukopa zaidi na ukawa inarudisha faida. Ni muhimu kutumia kanuni ya
MAUZO _FAIDA= MATUMIZI hii ni kutokana na mwandishi Mike Michalowicz kayika kitabu kinachotwa Profit First: A Simple System To Transform Any Business From A Cash-Eating Monster To A Money-Making Machine kilichoandikwa na Mike Michalowicz.Mwandishi anasema wafanya biashara wengi wamekuwa wanachukua mauzo na matumizi afu mwisho wa siku wanakuja kutafuta faida hivyo kama mjasriamali inabidi utoe faida kwanza uiweke pembeni ndo uangalie mauzo.
Ndugu yangu mpendwa hata kama umepata mtaji mdogo usisite kuanza kisa mtaji ni mdogo anza tu utakuwa unaongezea kidogo kidogo.
Unaweza kukopa kupitia taasisi za kifedha,
Taasisi mfano Benki
Vigezo vikubwa wanavyoangalia benki ili wakukope ni kuwa na biashara ambayo umeianzisha angalau kuanzia miezi sita au zaidi ambayo ina mzunguko mzuri wa fedha.Uwe na account ya benki husika au uwe unaitumia benki husika pia uwe na dhamana ambayo utaiweka ili kama unashindwa kulipa waweze kuichukua ile dhamana ili kufidia.
Kadili unavyokuwa unaitumia benki ndivyo unavyozidi kuipa ushwawishi benki kukukopa maana benki nao wanaangalia mihamara (transaction) unazokuwa unazifanya.Wakati mwingine kama wewe ni mdau mzuri benki wenyewe wanaweza kukushawishi kukukopa maana kutokana na mihamara unayofanya unaonekana kukopesheka.
Lakini pia zipo microfinances, hizi ni taasisi za kifedha ambazo hutoa mikopo midogo midogo kwa wahitaji.Hivyo unaweza tumia hizo na kuweza kuifanikisha biashara yako au mradi wako.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa"
Kwa mawasiliano zaidi 0767702759 Lackius Robert
Karibu.
Jinsi ya kupata mtaji
Ndugu,
Ni siku nyingine tena ambapo tunakutana katika program yetu ya morning motivation diary yenye lengo kubwa la kuing'alisha siku yako na kuifanya kuonekana mpya.
Unaweza kuomba mkopo Kutoka Kwenye Vyama na Vikundi mbali mbali,
Vyama vya kama SACCOS na Vikoba Sifa kubwa unayotakiwa Kuwa nayo ni kuwa mwanachama wa chama chenye kukopesha na kufuata masharti ya chama husika.Mara nyingi vyama hivi na vikundi huwa vinatoa mkopo wenye riba na masharti ambayo siyo magumu kuyazingatia.
Watu wengi wamekuwa wanaanza biashara kwa kukopa Pesa kutoka kwenye VICOBA na kuweza kufanikiwa .
Miongoni mwa faida ni kwamba unakuwa na uhakika wa mtaji kuupata japo ata kama utakuwa ni mdogo ,na na mara nyingi wanakikundi wanakuwa wanakujua jinsi unavyochangia au jinsi unavyojituma.Inaweza kuanza na mtaji mdogo, kama unahisi au unaepuka kufilisiwa mali zako ,lakini ukishaanza kuizoea biashara na ukaziju changamoto zake unaweza kukopa zaidi na ukawa inarudisha faida. Ni muhimu kutumia kanuni ya
MAUZO _FAIDA= MATUMIZI hii ni kutokana na mwandishi Mike Michalowicz kayika kitabu kinachotwa Profit First: A Simple System To Transform Any Business From A Cash-Eating Monster To A Money-Making Machine kilichoandikwa na Mike Michalowicz.Mwandishi anasema wafanya biashara wengi wamekuwa wanachukua mauzo na matumizi afu mwisho wa siku wanakuja kutafuta faida hivyo kama mjasriamali inabidi utoe faida kwanza uiweke pembeni ndo uangalie mauzo.
Ndugu yangu mpendwa hata kama umepata mtaji mdogo usisite kuanza kisa mtaji ni mdogo anza tu utakuwa unaongezea kidogo kidogo.
Unaweza kukopa kupitia taasisi za kifedha,
Taasisi mfano Benki
Vigezo vikubwa wanavyoangalia benki ili wakukope ni kuwa na biashara ambayo umeianzisha angalau kuanzia miezi sita au zaidi ambayo ina mzunguko mzuri wa fedha.Uwe na account ya benki husika au uwe unaitumia benki husika pia uwe na dhamana ambayo utaiweka ili kama unashindwa kulipa waweze kuichukua ile dhamana ili kufidia.
Kadili unavyokuwa unaitumia benki ndivyo unavyozidi kuipa ushwawishi benki kukukopa maana benki nao wanaangalia mihamara (transaction) unazokuwa unazifanya.Wakati mwingine kama wewe ni mdau mzuri benki wenyewe wanaweza kukushawishi kukukopa maana kutokana na mihamara unayofanya unaonekana kukopesheka.
Lakini pia zipo microfinances, hizi ni taasisi za kifedha ambazo hutoa mikopo midogo midogo kwa wahitaji.Hivyo unaweza tumia hizo na kuweza kuifanikisha biashara yako au mradi wako.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa"
Kwa mawasiliano zaidi 0767702759 Lackius Robert
Karibu.