Tuesday, June 11, 2019
Fanya kazi muhimu kwanza
Fanya kazi muhimu kwanza:
Watu wengi tumekuwa na kazi nyingi tunazofanya katika maisha yetu ya kila siku.Miongoni mwa wengi tumekuwa tukiishia njiani yaani kuacha kazi tunayofanya na kufanya nyingine,huku ya kwanza haijaisha,kwa maana aujafanya tathimini ya kwanini aujafanikiwa kama ulivyotarajia.
Hali hii imetufanya wengi kushindwa kuwa na mpangilio maalumu wa kazi hali hii ya tunaiita KUTANGATANGA
Mfano umenza biashara fulani ,lakini baada ya muda mfupi unaona anayeendesha bodaboda anapata Pesa zaidi ukaachana na biashara yako na kuingia kwenye kazi ya bodaboda .
Baada ya muda mfupi unaona bado aijakupatia fedha unazohitaji unaenda tena kwenye biashara nyingine mpya tofauti na mwanzo uliyofanya,Baada ya kuona aina umuhimu sana.
Mwisho wa siku unajikuta mambo yako yote hayaendi sawa baada ya hapo unaanza kulalamika .Nchi hii bhana bora ningezaliwa Nje nikawa tajiri.Nikukumbushe """" Kuwa karibu na mahakama sio kujua sheria"""".Hivo kuzaliwa Nchi tajiri bado hakukufanyi kuwa tajiri Bali utajiri inaanzia kwenye nafsi na mawazo yako.Naomba Ubadilike maana
" Ushindi upo mikononi mwako kwa Kuwa umebarikiwa"
For more
Karibu katika page yangu ya Instagram
Lackius robert
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment