Wednesday, March 20, 2019

MAANDALIZI KATIKA MAFANIKIO

Mafanikio yoyote yanahitaji muda  na maandalizi ya kutosha
Ili uweze kufanikiwa ni lazima vitu vifuatavyo uvizingatie;

 upambanaji ,inabidi kupambana kufa na kupaona kuhakikisha kile unachokitafuta unakipata.Lakini pia inakubidi ujiulize kwanini wewe tu,kwa kujiuliza na kupata majibu fulani fulani yatakuweka katika hatua nzuri kuelea mafanio yako.

uvumilivu;miongoni mwa hatua kubwa zilizofanya watu wengi wenye mafanikio ni uvumilivu.mfano mzuri ni mwanzirishi wa mgahawa wa KFC( Bwana Colonel Sanders,licha ya kufiwa na Baba yake akiwa mdogo,kufukuzwamara nne kazini ndani ya mwaka mmoja na kukataliwa sehemu za kazi tofauti tofauti.Alikuja kupata mafanikio makubwa akiwa mzee miaka zadi ya 65 na kuwa miongoni    mwa mabilionea duniani lakini alivumilia.Ndugu yangu ambaye bado muda unao uvumilivu unakushinda nini?                                  .



kutokubali kukata tamaa; mafanio yoyote  yanakuja na chanamoto vikwazo vya hapa na pale ukiyumbishwa na chanagmoto hizo utajikuta unaishia kuyatazama kwa majirani . bwana Colonel  angeweza kukata tamaa na kuishia kulamika mgahawa wa KFC ambao ni maarufu kwa kuuza chips  sidhsni kama tungekuwa tunaisikia,na kwa sasa imeenea nchi zaidi  ya 
 ya 80 na matawi zaidi ya 9000.

                                                 


Ndugu kaza kamba usiyumbishwe na changamoto unazokutana nazo.
 "Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa"

Nakusihi uendelee kfatria blogu hii ya DARAJA LA MAFANIKIO HAKIKA TUTAFIKA
for more maarifarobert@gmail.com
instagram @lackiusrobert.
KARIBU SANA.
                                           

No comments:

Post a Comment