Mafanikio yoyote yanahitaji muda na maandalizi ya kutosha
Ili uweze kufanikiwa ni lazima vitu vifuatavyo uvizingatie;
upambanaji ,inabidi kupambana kufa na kupaona kuhakikisha kile unachokitafuta unakipata.Lakini pia inakubidi ujiulize kwanini wewe tu,kwa kujiuliza na kupata majibu fulani fulani yatakuweka katika hatua nzuri kuelea mafanio yako.
uvumilivu;miongoni mwa hatua kubwa zilizofanya watu wengi wenye mafanikio ni uvumilivu.mfano mzuri ni mwanzirishi wa mgahawa wa KFC( Bwana Colonel Sanders,licha ya kufiwa na Baba yake akiwa mdogo,kufukuzwamara nne kazini ndani ya mwaka mmoja na kukataliwa sehemu za kazi tofauti tofauti.Alikuja kupata mafanikio makubwa akiwa mzee miaka zadi ya 65 na kuwa miongoni mwa mabilionea duniani lakini alivumilia.Ndugu yangu ambaye bado muda unao uvumilivu unakushinda nini? .
kutokubali kukata tamaa; mafanio yoyote yanakuja na chanamoto vikwazo vya hapa na pale ukiyumbishwa na chanagmoto hizo utajikuta unaishia kuyatazama kwa majirani . bwana Colonel angeweza kukata tamaa na kuishia kulamika mgahawa wa KFC ambao ni maarufu kwa kuuza chips sidhsni kama tungekuwa tunaisikia,na kwa sasa imeenea nchi zaidi ya
Ndugu kaza kamba usiyumbishwe na changamoto unazokutana nazo.
"Ushindi upo mikononi mwako kwa kuwa umebarikiwa"
Nakusihi uendelee kfatria blogu hii ya DARAJA LA MAFANIKIO HAKIKA TUTAFIKA
for more maarifarobert@gmail.com
instagram @lackiusrobert.
KARIBU SANA.
No comments:
Post a Comment